Discuss & Debate | Share | Learn

www.ask.or.tz

Our Partners
#18904
Image

Bilal mwana wa Afrika aliyezaliwa Makka akiwa mtumwa wa mmoja wa Maqureish katili sana, alionesha ulimwengu jinsi mtu mnyonge anayeonewa anavyoweza kujikomboa kutoka kwenye makucha ya madhalimu.
Bilal aliyvumilia kila aina ya mateso kwa kumtegemea Allah (swt) mpaka akaupata uhuru wake na kulinda imani yake ya Uislamu.
Kumjua Bilal ni kuujua Uislamu, kwani Bilal ni katika watu wa mwanzo kabisa kumkubali Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na Uislamu.

Jina la Kitabu : Bilal wa Afrika na Maswahaba wengine wa Afrika wa Mtukufu Mtume
Mwandishi : Husayn Malika Ashtiyani
Mtafsiri : Salman Shou
Mchapishaji : Al-Itrah Foundation
ISBN : 9987427030

PDF:
http://www.shia-maktab.info/index.php/e ... ad&fid=331

Thus is so true honestly, even though it's been ov[…]

Al An'aam (The Cattle)

Short tafsir on Suratul An'aam (The Cattle) Part 1[…]

jannat-ul-baqi-a-brief-history_f.jpg Name of Bo[…]

urdu_jannatul_baqi_demolition_f(1).jpg نام کتاب[…]

Ask4help Counseling Helpline