Discuss & Debate | Share | Learn

www.ask.or.tz

Our Partners
#18904
Image

Bilal mwana wa Afrika aliyezaliwa Makka akiwa mtumwa wa mmoja wa Maqureish katili sana, alionesha ulimwengu jinsi mtu mnyonge anayeonewa anavyoweza kujikomboa kutoka kwenye makucha ya madhalimu.
Bilal aliyvumilia kila aina ya mateso kwa kumtegemea Allah (swt) mpaka akaupata uhuru wake na kulinda imani yake ya Uislamu.
Kumjua Bilal ni kuujua Uislamu, kwani Bilal ni katika watu wa mwanzo kabisa kumkubali Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na Uislamu.

Jina la Kitabu : Bilal wa Afrika na Maswahaba wengine wa Afrika wa Mtukufu Mtume
Mwandishi : Husayn Malika Ashtiyani
Mtafsiri : Salman Shou
Mchapishaji : Al-Itrah Foundation
ISBN : 9987427030

PDF:
http://www.shia-maktab.info/index.php/e ... ad&fid=331

Amaal Eve 17th - (night preceeding day 17th) A ver[…]

Ramadhan Daily Duas- # 17

Dua for Day 17 | Holy Month of Ramadhan O Allah, […]

https://youtu.be/hk2bRbbavCY?si=6Y53rBBj5rHfPNmw

Ramadan Daily Duas - # 16

*Dua for Day 16 | Holy Month of Ramadhan* O Allah[…]

Ask4help Counseling Helpline