Discuss & Debate | Share | Learn

www.ask.or.tz

Our Partners
#18877
Image

Taqiya ni ruhusa (si amri) ambayo Waislamu wamepawa na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake s.a.w.w. kuitumia wanapokabiliwa na tisho la kupoteza roho zao au mali yao.

Ruhusa hii imetumiwa na Waisiamu wa madhihabi mbali mbali katika historia, kama inavyoonyeshwa humu.

Lakini wanaoshambuliwa kwa matumizi ya ruhusa hii ni mashia peke yao pamoja na kuifanya sawa na unafiki! Kwa nini?

Katika kitabu hiki, Sheikh Abdilahi Nassir anaijibu suali hiyo kwa kuyaeleza mateso yaliyowapata mashia katika historia, na hadi hii leo. Pia amesahihisha zile fikra za makosa zinazoenezwa dhidi ya mashia kukhusu ruhusa hiyo.

Jina la Kitabu : Shia na Taqiya : Majibu na Maelezo
Mwandishi : Sheikh Abdilahi Nassir
Mchapishaji : Ahlul Bayt Centre

PDF Download:
http://www.shia-maktab.info/index.php/e ... ad&fid=309
Eid Mubarak!

"Eid Mubarak to all! After 30 days of fasting[…]

Ramadhan Daily Duas # 29

Dua for Day 29 | Holy Month of Ramadhan O Allah, […]

Ramadan Daily Duas # 28

Dua for Day 28 | Holy Month of Ramadhan O Allah, […]

Short tafsir on Suratul Buruj - part 1

Ask4help Counseling Helpline