Discuss & Debate | Share | Learn

www.ask.or.tz

Our Partners
#18877
Image

Taqiya ni ruhusa (si amri) ambayo Waislamu wamepawa na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake s.a.w.w. kuitumia wanapokabiliwa na tisho la kupoteza roho zao au mali yao.

Ruhusa hii imetumiwa na Waisiamu wa madhihabi mbali mbali katika historia, kama inavyoonyeshwa humu.

Lakini wanaoshambuliwa kwa matumizi ya ruhusa hii ni mashia peke yao pamoja na kuifanya sawa na unafiki! Kwa nini?

Katika kitabu hiki, Sheikh Abdilahi Nassir anaijibu suali hiyo kwa kuyaeleza mateso yaliyowapata mashia katika historia, na hadi hii leo. Pia amesahihisha zile fikra za makosa zinazoenezwa dhidi ya mashia kukhusu ruhusa hiyo.

Jina la Kitabu : Shia na Taqiya : Majibu na Maelezo
Mwandishi : Sheikh Abdilahi Nassir
Mchapishaji : Ahlul Bayt Centre

PDF Download:
http://www.shia-maktab.info/index.php/e ... ad&fid=309

The 6th Imam died in Madinah on 25th Shawwal, 148 […]

Thus is so true honestly, even though it's been ov[…]

Al An'aam (The Cattle)

Short tafsir on Suratul An'aam (The Cattle) Part 1[…]

jannat-ul-baqi-a-brief-history_f.jpg Name of Bo[…]

Ask4help Counseling Helpline