Discuss & Debate | Share | Learn

www.ask.or.tz

Our Partners
User avatar
By shia-maktab
#18825
Image

Hiki ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vilivyokusudiwa kujibu shutuma na madai ya Sheikh Juma Moh’d Al-Mazrui dhidi ya itikadi na imani za Shia Ithna-ashariyya aliyoyaandika katika kitabu chake alichokiita Al-Qistasu Al-Mustaqim (Mezani ya Haki).

Katika kitabu hiki Sheikh Abdilahi Nassir anayajibu yale yaliyoandikwa na Sheikh Al-Mazrui katika Sura ya Tatu na ya Nne ya kitabu chake hicho (uk. 43-114) ya kudai kwamba muradi wa neno ahlul bayt katika Sura 33:33 ni “wake wa Mtume (s.a.w.w.)” si “ahlul-kisaa” kama walivyoshikilia machia na wengi sana wa wanavyuoni wa kisunni.

Ameyajibu hayo kwa kuzijadili kiilimu na kimantiki hujja alizozitegemea Sheikh Al-Mazrui za “sibaaq na siyaaq, kanuni za kiusuli na hujja za kilugha”

Jina la Kitabu : Ahlul Bayt: Ni Nani, Si Nani
Mwandishi : Sheikh Abdilahi Nassir
Mchapishaji : Ahlul Bayt Centre

PDF Download:
http://www.shia-maktab.info/index.php/e ... ad&fid=291
[KSIJDar]

https://cdn4.cdn-telegram.org/file/GmwOqEIhHdKrt9[…]

🙏🏻"O God, make death Ma'nas and Ma'laf for us[…]

Ask4help Counseling Helpline